Menu ›
Burudani
Mon, 29 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Yammi amesema anatamani kufanya kazi na wasanii wote ambao wamemtangulia akiwemo Zuchu.
Yammi ambaye ni zao la lebo ya Nandy, African Princess, amesema yeye kama msanii ana ndoto ya kushirikiana na wasanii wenzake.
"Wengi tu natamani kufanya nao kazi dada Nandy, Phina na Zuchu," alisema Yammi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live