Menu ›
Burudani
Tue, 14 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muigizaji maarufu wa Bopngo Movies, Jackline Wolper amechapisha picha akiwa na ujauzito pamoja na kueleza kwamba anatamani kupata mtoto wa tatu hivyo anaomba shabiki zake wachague baba wa mtoto huyo.
Hali hii imefanya watu wengi waulizie hali ya uhusiano wake na Rich Mitindo maana hivi karibuni ilikuwa inasemekana ndoa yao imevunjika ingawa Wolper na Rich hawajawahi kujitokeza hadharani kukanusha wala kuunga mkono dai hilo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live