Menu ›
Burudani
Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa muziki kutoka nchini nigeria @wizkidayo ameahidi kutoa naira millioni 100 sawa na Tsh milioni 311 kwa ajili ya sikukuu ya krismas.
Akiahidi kuanza mchakato huo leo huko Surulele jimbo alipozaliwa, amedai atafanya hivyo kwajina la marehemu mama yake kipenzi cha maisha yake.
Je, wewe kipindi hiki cha sikukuu umepanga kufanya nini??
Chanzo: www.tanzaniaweb.live