Menu ›
Burudani
Wed, 16 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Muziki kutoka nchini Nigeria Ayodeji Ibrahim Balogun maarufu kama Wizkid amethibitisha kuwa na kolabo nyingi na Staa wa Muziki kutoka Canada, Justine Bieber ambazo tayari zipo store.
Mbali na hivyo amefunguka jinsi ilivyopatikana Essence Remix ambayo Bieber aliingiza mistari yake na kusema alivutiwa na ngoma hiyo ndio maana wakafanya Remix na kuna nyimbo nyingine zipo ndani hazijatoka.
Essence Remix kwa sasa bado inakimbiza huko YuTube kwani ndani ya miaka miwili tangu itoke imekusanya watazamaji (views) zaidi ya milioni 35.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live