Menu ›
Burudani
Wed, 20 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki kutoka nchini Kenya, Willy Paul amewatolea uvivu mashabiki nchini humo akidai kuwa ‘hawasapoti’ wasanii wao.
Ameyasema hayo baada ya mashabiki kutaka aache ku-post challenge ya wimbo wake wa ‘I DO’ aliofanya na msanii kutoka nchini Jamaica, #Alainesinga uliotoka miaka sita iliyopita
Kupitia ukurasa wa Instagram wa mwanamuziki huyo ameandika kuwa yeye ana-post kwa ajili ya Dunia nzima na siyo kwa Kenya peke yao hivyo hawezi kuacha.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live