Tamasha la Simba Day limeendelea kuingia doa baada ya Chama cha watu wenye ualbino Tanzania (TAS) pamoja na Kituo cha Sheria na Haki za binadamu (LHRC) kujitokeza kulaani matumizi ya jeneza, msalaba na mtu mwenye ualbino aliyekuw amefungwa kamba mikononi mithili ya msukule, kitendo ambacho kinadaiwa kutweza utu wa mtu mwenye ualbino.
Tamasha la Simba Day limeendelea kuingia doa baada ya Chama cha watu wenye ualbino Tanzania (TAS) pamoja na Kituo cha Sheria na Haki za binadamu (LHRC) kujitokeza kulaani matumizi ya jeneza, msalaba na mtu mwenye ualbino aliyekuw amefungwa kamba mikononi mithili ya msukule, kitendo ambacho kinadaiwa kutweza utu wa mtu mwenye ualbino.