Menu ›
Burudani
Mon, 8 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ni mwaka mmoja sasa toka mastaa Wema Sepetu na Whozu waingie penzini, kupitia ukurasa wa Instagram, Wema ameposti ujumbe huo.
"Tarehe 08 Mei 2022, nilitangaza Upendo wangu kwako... Mwaka 1 sasa, Lengo ni Milele... Muda gani...? Kwa muda wote nitakaoishi... Happy Anniversary Amore...❤️ NAKUPENDA ❤️ @whozu_
Wema ameshakuwa kwenye mahusiano na wanaume wengine 'lukuki' akiwemo staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live