Menu ›
Burudani
Thu, 8 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wema Sepetu na Whozu; ni kapo nyingine ya mastaa wa Bongo ambayo inakosolewa vilivyo kuwa ni mbingu na ardhi.
Kumekuwa na tetesi zikishibisha na video za mahaba mazito kati ya Wema na Whozu kuwa ni wapenzi; penzi ambalo linakataliwa na wengi.
Mwijaku ni mtangazaji anayejiita DC wa Insta ambaye anasema, kamwe Wema ambaye ni mhamasishaji wa chanzo ya UVIKO-19 hawezi kutoka kimapenzi na Whozu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live