Menu ›
Burudani
Wed, 3 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muigizaji wa sinema za Kibongo, Wema Sepetu ametangaza rasmi kuwa, ameacha kabisa kunywa pombe.
Mrembo huyo ametangaza hilo kupitia kipande cha video kinachomuonesha akiwa na mtamgazaji Mwijaku.
Wema amesema ana miezi 5 sasa Hajanywa Pombe, na Mwijaku amesisitiza kuwa mrembo huyo kwa sasa ameacha kabisa pombe.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live