Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wema Sepetu atamani ndoa ya Diamond na Zari

8570 81C100DD 975A 4BAF 801A EFC70D92BE1A.jpeg TZW

Mon, 4 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Malkia wa Filamu Bongo, Wema Sepetu amempongeza Diamond Platnumz kwa ngoma yake mpya ya ‘Iyena’ aliyomshirikisha Rayvanny.



Katika maudhui ya ngoma hiyo, Diamond amecheza na Mzazi mwenzie Zarina Hassan (Zari The Boss lady) kama wamefunga ndoa, Wema amemtaka msanii huyo kufanya kweli.

“New Track Alert Ila kama ingekuwa Pambe ingekuwa Kweli. Just thinking out Loud, Diamond Chibudeeee Fanya kweli bwana. Inshallah mwaka huu hata mwakani. Tuje kucheza Baikoko sie, Rayvanny Kazi nzuri,” ameandika Wema kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Kabla ya Diamond na Zari kuwa na mahusiano yaliyoplekea kuwa na watoto wawili na baadaye kutengana, Muimbaji huyo alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Wema Sepetu.

siku ya wapendanao (Valentine Day) Zari The Boss Lady alitangaza kuvunja kwa mahusiano yake na Diamond kwa alichodai muimbaji huyo anavunja utu wake katika mitandao kwa kuwa na wanawake tofauti tofauti.

Loading...
Chanzo: bongo5.com