Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wema Sepetu, Faiza Ally na Aunty Ezekiel wakunwa na Barnaba jukwaani (+video)

Video Archive
Mon, 12 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Wasanii wa filamu nchini Tanzania wamejikuta wakishindwa kuzuia hisia zao baada ya msanii wa Bongo Fleva, Barnaba kutumbuiza nyimbo nne jukwaani kwenye usiku wa The Vikings ulioandaliwa na Papii Kocha na Baba yake Babu Seya.

Wasanii hao walionekana wakicheza na wengine kupanda jukwaani akiwemo mtangazaji Mboni Masimba na kumpa zawadi kwa show kali aliyofanya.

Chanzo: bongo5.com