Menu ›
Burudani
Mon, 12 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Wasanii wa filamu nchini Tanzania wamejikuta wakishindwa kuzuia hisia zao baada ya msanii wa Bongo Fleva, Barnaba kutumbuiza nyimbo nne jukwaani kwenye usiku wa The Vikings ulioandaliwa na Papii Kocha na Baba yake Babu Seya.
Wasanii hao walionekana wakicheza na wengine kupanda jukwaani akiwemo mtangazaji Mboni Masimba na kumpa zawadi kwa show kali aliyofanya.
Chanzo: bongo5.com