Menu ›
Burudani
Tue, 28 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwigizaji wa Bongo Movie Wellu Sengo a.k.a Matilda amefiwa na Mama yake kwa mujibu wa taariafa aliyotoa Baba wa Mtoto wake Steve Nyerere ameandika haya akimpa pole
"Nichukue nafasi hii kukupa pole sana sana wewe pamoja na familia kwa ujumla kwa kuondokewa na mama kipenzi, pole sana Mama Vallensia, pole sana Wellu Sengo, Mungu akutangulie hasa kwenye kipindi hiki kigumu unachopitia. Tambua tupo pamoja sana.
Pole Mama
Pole Wellu
Pole mama Vallensia
Kazi ya Mungu haina makosa Mama
Tupo pamoja sana," ameandika Steve Nyerere.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live