Menu ›
Burudani
Tue, 8 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Watumiaji wawili wa mtandao wa TikTok wamehukumiwa kuchapwa fimbo 20 kila mmoja, faini TZS 54,000, kuomba radhi na kusafisha viunga vya mahakama kwa siku 30 kwa kumdhihaki Gavana wa Kano nchini Nigeria.
Watumiaji wawili wa mtandao wa TikTok wamehukumiwa kuchapwa fimbo 20 kila mmoja, faini TZS 54,000, kuomba radhi na kusafisha viunga vya mahakama kwa siku 30 kwa kumdhihaki Gavana wa Kano nchini Nigeria. Kupitia video wiliyochapisha wamemtuhumu gavana kwa rushwa, kupora ardhi na kusinzia kazini.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live