Menu ›
Burudani
Wed, 15 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Vijana watatu wa kiume wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 20s wanadaiwa kuuawa kwa shambulizi la risasi Dixie Hills Atlanta, Marekani wakati Mwanamuziki Lil Baby aki-shoot video yake.
Kwa mujibu wa vyombo mbalimbali vya Marekani Lil Baby hajapata madhara yoyote kutokana na shambulizi hilo.
Mpaka sasa vyombo vya usalama Atlanta bado havijatoa ufafanuzi zaidi kuhusu tukio hili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live