Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Watu kama sisi ni romantic – Chemical

3490 26872038 1495687213875971 3678512894862950400 N TZW

Mon, 26 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki Bongo, Chemical amefunguka kuhusu picha zake na producer Max Maizer.



Chemical amesema picha hizo zilipigwa wakati waki-shoot video ya ngoma ‘Asali’ lakini zikuja kuwa gumzo kutokana watu hawajamzoea kumuona katika hali hiyo ila ni vitu ambavyo vipo katika maisha yake ya kawaida.

“Inawezekana walikuwa hawaamini lakini watu kama sisi ni romantic, we are very romantic basi hawajuagi watu,” Chemical ameiambia EATV na kuoengeza, “Nasisi hatutaki waonyesha kwa sababu wanaweza wakaganda, wakang’ang’ania.”.

Chemical na Max Maizer

Producer Max Maizer amehusika kutengeza ngoma kadhaa za Chemical ikiwemo mpya ya sasa ‘Asali’ ambayo amemshirikisha Beka Flavour.

Chanzo: bongo5.com