Menu ›
Burudani
Mon, 5 Mar 2018
Chanzo: bongo5.com
Watu wanaofuatilia shindano la Big Brother Naija watakuwa wanaelewa kuwa shindano hilo kwa sasa mambo ni Moto Moto kwani awali lilianza kuboa na baadhi ya watu walianza kulidharau kwa kulinganisha na lile lililozoeleka la nchini Afrika Kusini.
Jana usiku wa kuamkia leo washiriki wawili Teddy A na mpenzi wake Bam Bam ambao wanapewa nafasi kubwa kuibuka washindi kwenye shindano hilo, waliibua mijadala mitandaoni baada ya kunaswa na kamera wakifanya mapenzi bafuni.
BamBam & Teddy A !!! Inside Shower
Chanzo: bongo5.com