Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wasanii wamekosa akili ya ziada ya kibiashara – Ruby

8446 26870798 145835562782581 455282918676234240 N TZW

Wed, 30 May 2018 Chanzo: bongo5.com

/>

Ruby amesema hayo wakati akieleza sababu za ukimya wake kwenye muziki.

“Kwa sababu napenda vitu vizuri na vyenye kukaa kwenye biashara yangu muda mrefu kwa sababu nilikuwa natengeneza soko langu binafsi,” amesema.

“Watu wamekosa ile akili ya ziada ya kibiashara kwamba muziki si vile watu wanataka ila ni vile unautengeza kwa sababu ni kitu chanko kila mtu ana biashara yake,” Ruby ameiambia Clouds TV.

Ruby kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la Niwaze ambao amewashirikisha kundi la The Mafik. Huu ni wimbo wake wa kwanza kutoa tangu alipomaliza tofauti zake na Clouds Media January 26, 2018.

Loading...
Chanzo: bongo5.com