Menu ›
Burudani
Sat, 21 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki na filamu pamoja na wadau mbalimbali wamechangishana pesa kwaajili ya kumzika video vixen, Agnes Masogange aliyefariki dunia Ijumaa hii mchana akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Mama Ngoma Mwenge Dar es salaam.
Msanii wa muziki na filamu pamoja na wadau mbalimbali wamechangishana pesa kwaajili ya kumzika video vixen, Agnes Masogange aliyefariki dunia Ijumaa hii mchana akiwa anapatiwa matibabu katika hospitali ya Mama Ngoma Mwenge Dar es salaam.
Chanzo: bongo5.com