Menu ›
Burudani
Sun, 28 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Wasanii wa filamu kutoka Mizengwe kupitia filamu zako za ‘Kashi Kashi’ ametoa siri ya kuamua kuuza filamu zao wenyewe mitaani na kuachana na kupeleka kwa wahindi ambao wamedai wanawanyonya.
Akiongea na Bongo5 mmoja kati wa wasanii hao, Maringo 7, ambaye alibambwa mtaani na filamu hizo, alidai wamepata mafanikio makubwa sana kwa kuuza filamu zao wenyewe mitaani.
“Kwa siku sisi tunauza zaidi ya kopi mia mbili kwa elfu 5000, ni kitu kikubwa sana kwetu tofauti na kupelekwa kwa wahindi,” alisema Maringo 7.
Chanzo: bongo5.com