Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wasanii wa Bongo Fleva hawana hofu na Mungu – Steve Nyerere (+video)

Video Archive
Mon, 11 Jun 2018 Chanzo: bongo5.com

Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Steve Nyerere amesema kuwa wasanii wengi hususani wa Bongo Fleva hawana hofu na Mungu hao wanachoogopa ni kuporomoka kwa vipaji vyao.



Steve amesema hayo kwenye mahojiano yake na Bongo5 wakati akizungumzia sakata la wasanii wengi wa muziki kushindwa kuhudhuria kwenye msiba wa Sam wa Ukweli kitu ambacho amekieleza kama ni ukosefu wa umoja baina ya wasanii hao.

Loading...
Chanzo: bongo5.com