Menu ›
Burudani
Mon, 4 Jun 2018
Chanzo: bongo5.com
Tasnia ya burudani inaendelea kukua kila kukicha kutokana na matamasha mbalimbali ya muziki kuendelea kuzaliwa kila kukicha. Hatua hiyo imekuja baada ya tamasha jipya la muziki liitwalo Sports & Music Festival 2018 kuweka wazi mikakati yao ya kutoa burudani katika mikoa mbalimbali nchini Tanzania.
Tamasha hilo la muziki ambalo nitawakutanisha wasanii wakubwa zaidi 15, litaambana na michezo ya mapikipiki pamoja na magari.
Chanzo: bongo5.com