Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Wasafi TV & Radio havipo kushindana na chombo chochote – Diamond

3962 23421133 189757338248970 3592812470353264640 N E1519107773802 1 TZW

Mon, 5 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii Diamond Platnumz amesema Wasafi FM na TV si kwa ajili ya mashindano na vyombo vingine vya habari.



Akizungumza visiwani Zanzibar Diamond amesema vyombo hivyo ni kwa ajili ya kuondoa matabaka miongoni mwa wasanii na kukuuza muziki.

“Ninaomba watu waelewe kabisa hakipo katika kushindana na kitu chochote au kushinda na chombo chochote,” amesema Diamond.

Diamond na timu yake ya Wasafi kwa sasa wapo visiwani Zanzibar kwa ajili ya kusaka vipaji vya utangazaji ambavyo vitapewa nafasi katika vyombo hivyo vya habari.

Chanzo: bongo5.com