Kufuatia nyota wa muziki toka Nigeria, Burna Boy kukosa tuzo mbili za Grammy alizokuwa akishandania, Wanigeria wameibuka na hili mitandaoni, hasa wakiizungumzia tuzo ya 'Best Global Music Performance'
Kufuatia nyota wa muziki toka Nigeria, Burna Boy kukosa tuzo mbili za Grammy alizokuwa akishandania, Wanigeria wameibuka na hili mitandaoni, hasa wakiizungumzia tuzo ya 'Best Global Music Performance' Kipengele hicho ambacho Burna Boy alikuwa akishindania kupitia wimbo wake "Last, Last" ambapo Wasouth wainyakua tuzo hiyo, Wanigeria wengi wanadai Burna Boy ameonewa, wadai wimbo "Last, Last" ulistahili kushida tuzo hiyo.