Menu ›
Burudani
Mon, 14 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa mpiga picha wa supastaa Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz', Lukamba amesimulia jinsi alivyopambana na maadui ambao walikuwa hawapendi kuona mafanikio yake.
Akizungumza na Wasafi FM, Lukamba alisema, ilifika wakati aliona bora yaishe ili kuepuka husda za binadamu ambao walikuwa wanaona ananufaika sana.
"Ilikifika kipindi nikaona tutakuja kuuana. To be honest ilifika hatua nikaona riziki ni too much. Sababu mimi hata nilivyokuwa nasafiri, sa nyingine kina Simba wanatoka wanaenda klabu wananiacha mimi hoteli naedit, walifika wakati wakaona mimi namroga Diamond," alisema Lukamba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live