Menu ›
Burudani
Sun, 30 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Siku mbili tu tangu Msanii na CEO wa Konde Gang, Harmonize aachie Albamu yake ya Tatu "MADE FOR US".
Rapa Wakazi ameipamba Album hiyo huku akienda mbali zaidi na kusema 'Made For Us' ndio Album bora ya Mwaka hadi sasa.
Wakazi ameandika hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live