Menu ›
Burudani
Thu, 22 Sep 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki wa Hip Hop Nchini Webiro Wakazi Wassira "Wakazi" ametangaza kunusurika Kifo kwenye ajali mbaya ya gari.
Rapper huyo kwa sasa yupo zake nchini Marekani, Kupitia taarifa yake ambayo ameichapisha kwenye Mtandao wake wa Twitter Muda Mchache.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live