Menu ›
Burudani
Sun, 3 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa Wakazi ni Kazi tu, leo rapa huyo (@wakazi) ameachia Tracklist ya Album yake mpya (Beberu: Declaration) sehemu ya kwanza ambayo itatoka baadaye mwezi huu. Kuna Jumla ya mikwaju 13 ambapo 10 ameshirikiana na wakali wengine kwenye industry ya Muziki Tanzania.
Kati ya Kolabo hizo kuna moja amemshirikisha Marehemu Godzillah pamoja na Mwasiti, lakini pia kuna wimbo amempa shavu Prince Dully Sykes na nyingine akiwa na @nikkimbishi999 pamoja na @onetheincredible mbali ya zile ambazo amefanya na wakali wapya kwenye game.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live