Menu ›
Burudani
Tue, 19 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rapa Kanye West kushuka Afrika kwenye Pyramid za Misri mkononi akiwa na album yake mpya ya 'VULTURES' ambayo itasikilizwa katika Pyramid za Saqqara nchini Misri.
Rapa Kanye West kushuka Afrika kwenye Pyramid za Misri mkononi akiwa na album yake mpya ya 'VULTURES' ambayo itasikilizwa katika Pyramid za Saqqara nchini Misri. Hii sio mara ya kwanza rapa Kanye kutua Afrika kwani mwaka 2018 alitua nchini Uganda akiwa na mkewe Kimkardashian kwa lengo la kumalizia Album yake ya 'YADHI'
Chanzo: www.tanzaniaweb.live