Menu ›
Burudani
Sat, 31 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kutoka kwenye insta story ya sophia ambae amewahi kuwa Video vixen kwenye nyimbo ya #Amelowa ambayo ameimba Harmonize. Sophia ameweza kujibu ujumbe wa Harmonize alio ambiwa kuwa “ Sophia hana uwezo na kuhimili uume wa Harmonize “ na Sophia hajakaa kimya ameweza kumujibu kuwa.
“MDOGO WANGU SAYANA ZY FANYA URUDI TZ UNICHUKUE MAMBO NI MENGI MTU ANAJIFANYA SIJAONA DICK YAKE “
Hayo ndio maneno ya Sophia anataka msaada jamani atoke Tanzania ???????? mana harmonize amezidi kumsema.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live