Msanii wa muziki, Jux amedai yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao wanapata changamoto kutoka kwa muimbaji, Vanessa Mdee ambaye ni mpenzi wake. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo, Utaniua, amesema mafanikio ya Vanessa na kujituma kwake ni kitu ambayo kinamuumiza kila msanii ambaye ana malengo ya kufanya mambo makubwa katika muziki wake.
Msanii wa muziki, Jux amedai yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao wanapata changamoto kutoka kwa muimbaji, Vanessa Mdee ambaye ni mpenzi wake. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo, Utaniua, amesema mafanikio ya Vanessa na kujituma kwake ni kitu ambayo kinamuumiza kila msanii ambaye ana malengo ya kufanya mambo makubwa katika muziki wake.