Menu ›
Burudani
Mon, 29 Jan 2018
Chanzo: bongo5.com
Meneja wa Diamond, Babu Tale ameiomba serikali kujenga uwanja au ukumbi mkubwa ambao utakuwa na uwezo wa kuchukua mashabiki wengi wa burudani kutokana na kuwa na uhaba wa viwanja vikubwa vya burudani.
Meneja wa Diamond, Babu Tale ameiomba serikali kujenga uwanja au ukumbi mkubwa ambao utakuwa na uwezo wa kuchukua mashabiki wengi wa burudani kutokana na kuwa na uhaba wa viwanja vikubwa vya burudani.
Chanzo: bongo5.com