Menu ›
Burudani
Wed, 14 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe amesema kuwa Serikali itairejesha nyumba ya Sanaa iliyodaiwa kuporwa pamoja na maeneo ya Mwenge ambayo hutumiwa na wasanii.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Harrison Mwakyembe amesema kuwa Serikali itairejesha nyumba ya Sanaa iliyodaiwa kuporwa pamoja na maeneo ya Mwenge ambayo hutumiwa na wasanii.
Chanzo: bongo5.com