Menu ›
Burudani
Fri, 13 Apr 2018
Chanzo: bongo5.com
Mrembo kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Jacqueline Wolper amekanusha tetesi za kusema kuwa muigizaji na msanii wa muziki Nisha Bebee hana vigezo vya kuwa na aliyekuwa mpenzi wake Brown, kauli hiyo imekujaa baada ya kunukuliwa vibaya katika mahojiano aliyofanya hivi karibuni.
Mrembo kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Jacqueline Wolper amekanusha tetesi za kusema kuwa muigizaji na msanii wa muziki Nisha Bebee hana vigezo vya kuwa na aliyekuwa mpenzi wake Brown, kauli hiyo imekujaa baada ya kunukuliwa vibaya katika mahojiano aliyofanya hivi karibuni.
Chanzo: bongo5.com