Menu ›
Burudani
Tue, 29 May 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki, Aslay amefunguka kwa kuweka wazi kwamba ni kweli ameachana na mama watoto wake ndio maana kwa sasa mara nyingi haonekani naye. Muimbaji huyo amesema kwa sasa na mama watoto wake huyo wako pamoja kwaajili ya kulea mtoto wao.
Loading...
Chanzo: bongo5.com