Menu ›
Burudani
Fri, 9 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Baada ya ngoma yake Wowowo kufanya vizuri, rapper ZaiiD amefunguka na kusema anatarajia kufanya ubunifu mwingine mkubwa zaidi ya huo. Hii ni kutokana na kutaka kuepuka kurudia kitu ambacho ameshakwisha kukifanya.
Baada ya ngoma yake Wowowo kufanya vizuri, rapper ZaiiD amefunguka na kusema anatarajia kufanya ubunifu mwingine mkubwa zaidi ya huo. Hii ni kutokana na kutaka kuepuka kurudia kitu ambacho ameshakwisha kukifanya.
Chanzo: bongo5.com