Menu ›
Burudani
Fri, 9 Feb 2018
Chanzo: bongo5.com
Msanii wa muziki Bongo, Izzo Bizness amesema ngoma yake mpya ‘Saa Sita’ imetoka baada ya ile aliyofanya na Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ video yake kushindikana kufanyika baada ya mbunge huyo kuingia matatizoni.
Chanzo: bongo5.com