Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Ray Vanny amefunguka kwa kudai kuwa sio kweli kwamba msanii ni lazima awe na label ndio afanikiwe katika maisha ya muziki. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo, Siri aliomshirikisha Nikki wa Pili, amesema msanii anaweza kufanya vizuri hata akiwa nje ya label.
Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Ray Vanny amefunguka kwa kudai kuwa sio kweli kwamba msanii ni lazima awe na label ndio afanikiwe katika maisha ya muziki. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo, Siri aliomshirikisha Nikki wa Pili, amesema msanii anaweza kufanya vizuri hata akiwa nje ya label.