Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Video: Bahati wa Kenya amfagilia Diamond kwenye hili

Thu, 22 Feb 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki wa injili kutoka nchini Kenya, Bahati ambaye pia ni mmiliki wa lebo ya EMB, amemfagilia Diamond Platnumz kwa kuwa msanii wa kwanza Afrika Mashariki kuanzisha lebo yake ya muziki ya WCB na kuisimamia mpaka imeweza kufahamika sehemu mbalimbali.

Msanii wa muziki wa injili kutoka nchini Kenya, Bahati ambaye pia ni mmiliki wa lebo ya EMB, amemfagilia Diamond Platnumz kwa kuwa msanii wa kwanza Afrika Mashariki kuanzisha lebo yake ya muziki ya WCB na kuisimamia mpaka imeweza kufahamika sehemu mbalimbali.

Chanzo: bongo5.com