Menu ›
Burudani
Mon, 7 Jun 2021
Chanzo: globalpublishers.co.tz
Video: Amber Rutty Amwaga Machozi, Yaliyomkuta Jela June 7, 2021 by Global Publishers
Msanii wa Bongofleva, Rutyfiya Aboubakary ‘Amber Rutty’ Juni 6, 2021amefanya mahojiano katika kipindi cha Mapito kinachorushwa na Global Radio na kusema Mchungaji wa Kanisa la Emmaus Bible Church, Daudi Mashimo ndio kila kitu kwake kwa sababu amemtendea mambo mengi yaliyofanikisha kurudisha heshima yake ndani ya jamii.
Chanzo: globalpublishers.co.tz