Menu ›
Burudani
Thu, 31 May 2018
Chanzo: bongo5.com
height="400" class="wp-caption-text">Gassita na Vanessa Mdee
Mwaka jana Vanessa Mdee alikutana na Rais Ali Bongo wakati wakirekodi project ya The African Queens ya Ali Bongo na Frédéric Gassita.
Na kwenye project hiyo ya The African Queens kuna nyimbo, Vanessa Mdee kafanya na Rais Ali Bongo na huenda waka-perform kwenye jukwaa moja.
Rais Ali Bongo ni moja ya maproducer wakongwe wa muziki nchini humo na ameshatayarisha album nne za gwiji wa muziki nchini Gabon, Frédéric Gassita.
Loading...
Chanzo: bongo5.com