Menu ›
Burudani
Vanessa Mdee atumbuiza na Joh Makini ngoma tatu mpya kutoka kwenye album yake ya ‘Money Mondays’ (+Video)
Sat, 30 Dec 2017
Chanzo: bongo5.com
Kwa mara ya kwanza jana Ijumaa usiku mashabiki wa Vanessa Mdee wamepata vionjo vya ngoma tatu kali zinazopatikana kwenye album yake ya ‘Money Mondays’ .
Vanessa Mdee na Joh Makini
Vanessa Mdee ametumbuiza ngoma yake ya ‘Unfollow’, The Way You Are na wimbo wake wa Pumzi ya Mwisho aliyowashirikisha marapa Joh Makini na Cassper Nyovest kutoka Afrika Kusini. Tazama video ya tukio hilo
Chanzo: bongo5.com