Burudani

Habari

Michezo

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Vanessa Mdee atoa mchongo kwa wasichana

3950 22858216 172599503321711 4616828670533697536 N TZW

Mon, 5 Mar 2018 Chanzo: bongo5.com

Msanii wa muziki Bongo, Vanessa Mdee ametoa mchongo kwa wasichana.



Muimbaji huyo wa ngoma Kisela kwa sasa ametangaza kutafuta madansa wa kike ambao anatarajia kuwatumia katika video yake mpya, wote ambao wana uwezo huo wanatakiwa kumtumia Vanessa clip zao za video kupitia mtandao wa twitter kwa ku-shatag #VeePickMe.

Soma zaidi; Picha: Lady Jaydee afanya ‘Audition’ ya kutafuta madansa

Utakumbuka February 15 mwaka huu Lady Jaydee alitangaza kutafuta madansa 10 hadi 12 wa kike na wa kiume wanaoweza kucheza vizuri style za kiafrika pamoja na za nje, hivyo Vanessa naye pia amekuja kuongeza fursa kwa vijana wenye uwezo wa kucheza.

Chanzo: bongo5.com