NI Machi 25, 2021 ambapo mwili wa hayati Dkt John Pombe Magufuli utapewa heshima za mwisho na Wananchi wa Chato pamoja na viongozi mbalimbali, sasa hapa Ayo TV & Millardayo.com imekusogezea hin video ujionee wasanii waliofika Chato kwaajili ya kuimba imbo za kuombezi ama za kumuenzi hayati Magufuli.
NI Machi 25, 2021 ambapo mwili wa hayati Dkt John Pombe Magufuli utapewa heshima za mwisho na Wananchi wa Chato pamoja na viongozi mbalimbali, sasa hapa Ayo TV & Millardayo.com imekusogezea hin video ujionee wasanii waliofika Chato kwaajili ya kuimba imbo za kuombezi ama za kumuenzi hayati Magufuli.