Menu ›
Burudani
Fri, 20 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mrembo mpenzi wa Rayvanny, Fahyma amesema, anafanya kila linawezekana kuhakikisha ngozi yake inakuwa na weupe zaidi.
Amesema hiyo ilitokana na pia na wanaume kuonekana wanapenda zaidi rangi hiyo nyeupe.
"Wanaume wanapenda wanawake weupe, mimi nalipaka mafuta kuiongezea ngozi wangu weupe japo mimi mwenyewe ni mweupe...," alisema Fahyma.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live