Menu ›
Burudani
Tue, 27 Feb 2024
Chanzo: Mwananchi
liyekuwa mume wa mfanyabiashara Zari Hassan, Shakibi Lutaaya anadaiwa kufungasha virago na kuondoka katika nyumba waliyokuwa wakiishi, iliyopo Africa Kusini na kurudi nchini #Uganda.
Hii inakuja baada ya kusambaa kwa stori kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na wawili hao kuachana huku kila mmoja akumu-unfollw mwenzake kupitia kurasa zao za Instagram.
Licha ya kuzuka stori mbalimbali kwenye mitandao ya kijamii lakini hakuna yoyote kati yao ambaye amethibitisha kuachana kwao. #Zari na #Shakibi walifunga ndoa Oktoba 3, mwaka jana nchini South Africa.
Chanzo: Mwananchi