Menu ›
Burudani
Wed, 27 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Muonekano wa ndani wa nyumba ya #Diddy baada ya kuvamiwa na Polisi na kufanyiwa upekuzi wakitafuta ushahidi wa Kesi yake ya Unyanyasaji wa Kingono.
.
Usiku wa kuamkia jana Polisi walivamia nyumba za Rapa #Diddy za Los Angeles na Miami na kuwakamata watoto wake na baadae kuwaachilia huru.
.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live