Mchezaji wa ‘timu’ ya Taifa ya England na ‘klabu’ ya Ettifaq kutoka Saudi Arabia, Jesse Lingard ameendelea kukoshwa na wimbo wa mwanamuziki #Diamond wa ‘Shuu’ aliomshirikisha #ChleyNkos.
Kupitia #Snapchat yake alionekana akiimba wimbo huo wakati akiwa kwenye mapumziko katika #hotel huku akionesha kukoshwa na vibe la wimbo huo.
Hii si mara ya kwanza kwa mchezaji huyo kuskiliza wimbo huo miezi kadhaa iliyopita kupitia #Snapchart yake kwa mara ya kwanza ali-share wimbo huo akionesha kuukubali.
#Lingard katika historia yake ya 'soka' alishawahi kuchezea vilabu mbalimbali maarufu kama vile #ManchesterUnited, #NottinghamForest, #WestHamUnited.