Menu ›
Burudani
Mon, 23 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kuhudhuria katika Tuzo za Trace nchini Rwanda Mwimbaji wa Afrobeat kutoka Nigeria Rema alikutana na rais wa nchi hiyo Paul Kagame na kuweka wazi kuwa ndio rais wa kwanza kukutana naye.
“Kiukweli huyu ndio rais wa kwanza kukutana nae katika maisha yangu, sijawahi hata kuonana na rais wangu”
#Rema alifanikiwa kuondoka na tuzo mbili moja ikiwa ni ya Msanii bora wa Afrika Kimataifa na ya pili ya wimbo bora wa mwaka ‘Calm Down’.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live