Menu ›
Burudani
Fri, 20 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki wa Bongo Fleva Diamondplatnumz, awakutanisha watoto wake watatu, ikiwa wawili ni kutoka Afrika Kusuni, aliozaa na mwanadada Zari na mmoja kutoka nchini Kenya aliyezaa na Tanasha Donna.
Watoto hao ni Tiffah, Nillan, na Naseeb Jr.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live