Menu ›
Burudani
Tue, 28 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Filamu Bongo, Irene Uwoya ameonekana kuwa anatamani tena kuingia kwenye maisha ya ndoa.
Hilo limejidhihirisha kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo ameuliza kama kuna ubaya endapo yeye ataingia tena kwenye ndoa.
"Kwani nikiolewa tena Kuna ubaya?"
Uwoya aliwahi kuolewa na aliyekuwa mchezaji wa mpira wa miguu kutoka Rwanda marehemu Hamadi Ndikumana lakini pia msanii Dogo Janja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live